Medo ambaye alitua Kagera akitokea kwa ndugu zao Mtubwa Sugar ndani ya mechi 14, amefanikiwa kushinda mechi mbili pekee ...
LAZIMA tukubali kwamba sio kila mwanamuziki anayefanya vizuri au mwenye nguvu ya ushawishi anaweza kuisimamia rekodi lebo na ...
Vatican imesema Papa Francis ambaye amelazwa hospitalini kwa zaidi ya wiki moja sasa, bado yuko katika hali ya ‘mahututi’ ...
Licha ya kukaa miaka zaidi ya minane bila kutoa kazi mpya, bado nyimbo za Shaa zilizompatia umaarufu zinaendelea ...
Katika mechi tano zilizopita za ligi baina ya timu hizo, zimefungana idadi ya mabao 12 ikiwa ni wastani wa mabao 2.4 kwa mchezo na ni mechi moja tu kati ya hizo ambayo timu moja haikupata bao.
Liverpool inayonolewa na kocha Arne Slot ndio imetabiriwa kuwa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa ambapo imepewa asilimia 17.2 ya ...
Mara mbili tofauti ambazo Serengeti Boys ilishiriki Afcon U17 ambazo ni 2017 na 2019 haikufanikiwa kufuzu Kombe la Dunia.
Nafahamu kuna mambo ni magumu mno kwa mzazi kuzungumza na mtoto wake, likiwemo hili la afya ya uzazi, wengi tunaamini kwamba ...
Viongozi wa umma wanapaswa kuelewa kuwa wao ni watumishi wa wananchi na si waajiri wao, kwa sababu kodi za wananchi ndizo ...
Baada ya mchekeshaji Leornado kushinda tuzo ya 'Overall Best Comedian Of The Year' katika usiku wa Tanzania Comedy Award, ...
Usiku wa Tuzo za Tanzania Comedy uliofanyika katika Ukumbi wa The Super Dome, Masaki, Februari 22, 2025, ulijaa hisia tofauti kwani washindi walisherehekea mafanikio yao baada ya kushinda ...
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, kiongozi huyo wa kiroho pia aliongezewa damu ili kutibu tatizo la anemia lililomkumba.
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results